Endelea kujifunza

Umeshaingia
Jisajili sasa kwenye jukwaa la Taa ili uanze kujifunza, na fuatialia maendeleo yako, na kukusanya pointi, na uingie kwenye mashindano.Baada ya kujisajili, utapata cheti cha kielektroniki katika mada ambazo utajifunza.

Ibada mbalimbali

Tawi hili linalenga kusimamisha misingi ya ibada na kuiimarisha, na kufungamanisha ibada na hukumu zake na Kitabu kitukufu na Sunna za Mtume zilizo safi. Linajumuisha ufahamu wa kina wa ibada (Fiqhi) na hukumu za ibada alizoamrishwa mwanadamu kwa kuzibainisha na kuzieleza, kama zilivyopokewa kutoka kwa Nabii Muhammad, rehema na amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake, na kutoka kwa maswahaba wake, Mwenyezi Mungu awe radhi nao wote.

Kiwango cha kukamilika kwa somo Ibada mbalimbali