Endelea kujifunza

Umeshaingia
Jisajili sasa kwenye jukwaa la Taa ili uanze kujifunza, na fuatialia maendeleo yako, na kukusanya pointi, na uingie kwenye mashindano.Baada ya kujisajili, utapata cheti cha kielektroniki katika mada ambazo utajifunza.

Ibada

Ibada ni utiifu wa kila aina kwa Mwenyezi Mungu, kwa upendo, utukufu, na kunyenyekea. Nayo ni haki ya Mwenyezi Mungu juu ya waja wake, na ni mahsusi kwake pekee. Ibada inajumuisha kila kitu ambacho Mwenyezi Mungu anakipenda na anachoridhia miongoni mwa maneno na vitendo alivyoviamrisha na akawaamrisha watu kufanya, sawa yawe ni katika matendo ya dhahiri kama vile swala, zaka, na Hija, au katika matendo ya ndani kama vile kumdhukuru Mwenyezi Mungu kimoyomoyo, kumhofu, kumtegemea, kumuomba msaada na mengineyo.

Masomo

Uhakika wa ibada