Endelea kujifunza

Umeshaingia
Jisajili sasa kwenye jukwaa la Taa ili uanze kujifunza, na fuatialia maendeleo yako, na kukusanya pointi, na uingie kwenye mashindano.Baada ya kujisajili, utapata cheti cha kielektroniki katika mada ambazo utajifunza.

Mlipuko wa magonjwa na ugonjwa wa kawaida

Janga la magonjwa ni moja ya majaliwa ya Mwenyezi Mungu yanayoteremka juu ya watu, Waislamu wao na makafiri wao. Lakini hali ya Muislamu anapokuwa katika balaa (janga) si sawa na ile ya wengineo; kwani yeye huamiliana nayo kwa yale ambayo Mola wake Mlezi Mtukufu aliamuru, kama vile kuwa na subira na kufanya sababu za kisheria za kuizuia kabla ya kutokea kwake, na kutafuta tiba baada ya kushikiwa nayo.

Masomo

Janga la ugonjwa ni somo na mawaidha
Namna Muislamu anavyoamiliana na majanga
Mbinu za kujikingia za kisheria
Hukumu zinazohusiana na magonjwa ya milipuko