Endelea kujifunza

Umeshaingia
Jisajili sasa kwenye jukwaa la Taa ili uanze kujifunza, na fuatialia maendeleo yako, na kukusanya pointi, na uingie kwenye mashindano.Baada ya kujisajili, utapata cheti cha kielektroniki katika mada ambazo utajifunza.

Zaka

Zaka ni nguzo ya tatu ya Uislamu. Mwenyezi Mungu aliifaradhisha ili imtakase na kumsafisha mtoaji na mchukuaji. Ingawa inaonekana kwa dhahiri kwamba ni kupunguza kiwango cha mali, lakini katika athari zake ni kuongezeka kwa baraka katika mali, kuongezeka kwa kiasi chake na kuongezeka kwa imani katika moyo wa mwenye kuitoa.

Masomo

Uhakika wa Zaka na malengo yake
Mali ambazo Zaka inalazimika kutolewa kwazo