Endelea kujifunza

Umeshaingia
Jisajili sasa kwenye jukwaa la Taa ili uanze kujifunza, na fuatialia maendeleo yako, na kukusanya pointi, na uingie kwenye mashindano.Baada ya kujisajili, utapata cheti cha kielektroniki katika mada ambazo utajifunza.

Kifo na mazishi

Kifo siyo mwisho wa jambo la maisha, bali ni awamu mpya kwa mtu na mwanzo wa maisha kamili ya akhera. Kama vile Uislamu ulivyokuwa na nia ya kulinda haki mbalimbali tangu kuzaliwa, pia ulisisitiza juu ya hukumu zinazohifadhi haki za maiti na kuzingatia hali ya familia yake na jamaa zake.

Masomo

Uhakika wa kifo na uhai
Kumuosha maiti na kumvalisha sanda
Kumswalia maiti na kumzika
Kufariji na kuomboleza kwa sababu ya kufiwa.
Wasia na Urithi