Endelea kujifunza

Umeshaingia
Jisajili sasa kwenye jukwaa la Taa ili uanze kujifunza, na fuatialia maendeleo yako, na kukusanya pointi, na uingie kwenye mashindano.Baada ya kujisajili, utapata cheti cha kielektroniki katika mada ambazo utajifunza.

Sheria mbalimbali za msimu wa baridi

Uislamu ni dini yenye kujumuisha na inafanya maisha yote kufungamana na Muumba wake, yenye malengo ya juu sana, yenye hekima katika sheria zake mbalimbali. Ndiyo maana Muumini ana ibada inayomuongoza kufikia hilo katika kila wakati. Msimu wa baridi ni msimu ambao hauwezi kukosa hukumu mbalimbali za kisheria zinazohusiana na milango kadhaa, katika usafi, swala, mavazi, mvua na mengineyo. Katika mlango huu, tutashughulikia kwa idhini ya Mwenyezi Mungu baadhi ya hukumu zake.

Masomo

Mambo ya kiimani yanayohusiana na msimu wa baridi
Majira ya baridi na usafi
Kuswali na kufunga saumu katika majira ya baridi
Kuna hukumu za jumla ambazo zinahitajika sana wakati wa majira ya baridi.