Endelea kujifunza

Umeshaingia
Jisajili sasa kwenye jukwaa la Taa ili uanze kujifunza, na fuatialia maendeleo yako, na kukusanya pointi, na uingie kwenye mashindano.Baada ya kujisajili, utapata cheti cha kielektroniki katika mada ambazo utajifunza.

Mwanamke wa Kiislamu

Sheria ya Kiislamu ilikuja kwa ajili ya kuwatukuza wanawake, na ushahidi wa hilo ulioko katika Kitabu cha Mwenyezi Mungu na maisha ya Mtume wa Mwenyezi Mungu, rehema na amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake, ni nyingi sana. Katika kumtukuza mwanamke katika Uislamu ni kwamba Uislamu umemuwekea hukumu za kisheria ambazo zinazingatia sifa zake na mambo yake mahususi, kuhifadhi haki zake, kumlinda kutokana na mambo machafu, na matamanio ya wenye nia mbaya na wale wenye magonjwa mioyoni mwao.

Somo linalofuata

Mwanamke na miito ya kisasa

Katika somo hili, tutajifunza kuhusu itikadi muhimu zaidi, misingi na miito ya kisasa inayoathiri masuala ya wanawake.